Rwandan flag Embassy of Rwanda in Dar es Salaam

Address32, Ali Hassan Mwinyi Road
Dar es Salaam
Tanzania
PostalPO Box 2918
Phonelocal: (022) 213.0119
international: +255.22.213.0119
Faxlocal: (022) 211.5888
international: +255.22.211.5888
Emailambadsm@minaffet.gov.rw

Comments on this Embassy

David
Sun, 12 Nov 2017 04:40 EST
Maombi ya kufundisha Kiswahili nchini Rwanda
Mimi ni Mtanzania mwenye umri Wa miaka 31, naomba kuna kufundisha somo la kiswahili nchini kwako nimesoma kiswahili na historia chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) na nilimaliza mwaka 2014 nitafurahi kama nitapata nafasi hiyo kwani no nia na kusudi language kuchangia kuifanya lugha hii kuwa ya kimataifa na kukua zaidi
Steven Simon
Thu, 26 Oct 2017 06:51 EDT
YAH: OMBI LA KUFUNDISHA SOMO LA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Husika na mada tajwa hapo,Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Ninategemea kupata shahada ya sanaa katika masomo ya GEOGRAFIA NA KISWAHILI mwishoni mwa mwaka huu katika chuo kikuu cha MTAKATIFU AGUSTINO tawi kuu Mwanza. Napenda sana kufundisha somo la Kiswahili nchini Rwanda. Hivyo naomba nafasi ya kufundisha somo la kiswahili nchini Rwanda kwa kuwa nina nguvu na maarifa ya kutosha juu ya somo husika.

Natanguliza shukrani zangu za dhati,halikadhalika natumaini kuwa ombi langu litakubaliwa.

Steven Simon
0752-552202
salufustarsteve@gmail.com
KAGIMBO, Abdulshakuur
Fri, 13 Oct 2017 12:52 EDT
MAOMBI YA KUFUNDISHA SOMO LA KISWAHILI RWANDA
Mimi muhitimu wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam mwaka 2014/2017 shahada ya elimu, katika masomo ya Kiswahili na Historia, naomba nafasi ya ufundishaji wa somo la Kiswahili katika nchi ya Rwanda.
Nipo tayari kufundisha somo hilo la lugha katika mazingira yote.
Natanguliza shukrani na ninaahidi kufanya kazi kwa juhudi zangu zote endapo ombi langu litakubalika.
Wako katika ukuzaji wa lugha ya ya Kiswahili
A. Kagimbo
Simu; 0755526064
Email; abdulshakuurkagimbo@gmail.com
Ali Suleiman Ali
Thu, 5 Oct 2017 00:20 EDT
YAH :MAOMBI YA KUFUNDISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Tafadhali, naomba husika na kichwa cha habari kilichopo hapo juu. Mimi ni kijana shupavu mwenye umri wa miaka 25. Ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya sanaa katika masomo ya Kiswahili na Kiengereza katoka Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MUM). Naomba nafasi ya kuisomesha kwa ufasaha lugha ya Kiswahili nchini Rwanda. Matarajio chanya ya nchi ya Rwanda juu ya lugha ya Kiswahili yatafikiwa kwani muhanga wa nafsi na moyo wangu juu ya hilo hauna kifani. Natumai ombi langu litapokelewa, kusikilizwa nakujibiwa. Asante sana. 0658745759
Ali Suleiman Ali
Wed, 4 Oct 2017 23:59 EDT
YAH: MAOMBI YA KUFUNDISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Tafadhali, naomba husika na kichwa cha habari kilichopo hapo juu. Mimi ni mhitimu shahada ya sanaa katika somo la Kiswahili na Kiengereza katoka Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MUM). Nipo tayari kukifundisha Kiswahili nchini Rwanda kwa juhudi zangu zote ili kuhakikisha mafanikio ynapatikana juu ya lugha hiyo tukufu. Asante sana.
0658745759
RAJABU HAMADI SAID
Tue, 12 Sep 2017 11:46 EDT
YAH; MAOMBI YA KUFUNDISHA KISWAHILI NA JOGRAFIA INCHINI RWANDA.
Rejea kichwa cha barua hapo juu.Naitwa RAJABU HAMADI SAID ni mtanzania niliyehitimu shahada ya kwanza ya sanaa na elimu katika masomo ya KISWAHILI na JOGRAFIA katika chuo kikuu cha dar es salaam(UDSM) mwaka 2015.Naomba nafasi ya kufundisha Kiswahili na Jografia katika nchi ya Rwanda kwa njia yoyote inayowezekana.Nina uzoefu wa kufundisha masomo yote mawili.
Natumaini kwamba ombi langu litapewa kipaumbele na kupata mrejesho chanya katika maombi yangu.
SIMU: 0717 238 236
0752 238 236
0620 113 106
EMAIL: rajabusaid56@gmail.com
ISAKA PHARES
Fri, 8 Sep 2017 03:58 EDT
YAH: OMBI LA KUFUNDISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Husika na kichwa tajwa,mi Isaka Phares ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya sanaa na elimu kutoka chuo kikuu cha Mt.Agostino mwanza 2015 katika masomo ya kiswahili na historia.Naomba nafasi ya kufundisha somo la kiswahili nchini Rwanda ili kukuza na kuhimarisha lugha ya kiswahili katika nchi za ukanda wa Afrika ya Mashariki na kati.Niko tayari kufanya kazi katika hali na mazingira yeyote,natumaini ombi langu litashughulikiwa kwa uaminifu.Mawasiliano ya simu ni 0768 099 854.Barua pepe:isakaphares@gmail.com.Niko tayari kama kutakuwa na uhitaji wa wasifu binafsi na nakala za vyeti.
GEROLD MOSES HYERA
Thu, 7 Sep 2017 09:04 EDT
YAH: MAOMBI YA KUFUNDISHA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Husika na mada tajwa hapo juu,
Naitwa GEROLD MOSES HYERA mhitimu wa shahada ya kwanza ya sanaa na elimu katika masomo ya Kiswahili na Historia kutoka Chuo kikuu cha Tumain makumira- Mbeya Tanzania mwaka 2016.
Naomba nafasi ya kufundisha somo la Kiswahili katika nchi ya Rwanda.
Natumaini ombi langu litashughulikiwa.
Simu no.0629128595/0743255135
Email. gerardhyera@gmail.com
MREHU, ALFRED E
Tue, 5 Sep 2017 10:15 EDT
YAH; MAOMBI YA KUFUNDISHA SOMO LA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Rejea kichwa cha habari hapo juu, naomba nafasi yakufundisha somo la Kiswahili nchini Rwanda.Nina shahada ya Kiswahili katika chuo kikuu cha Dodom (UDOM)2012, Pia Pia nina Post Graduate Diploma katika chuo kikuu cha Dar es salaam (DUCE)2015.Ninao uzoefu na taaluma bobevu ya kutosha katika kufundisha somo hilo.
Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litakubaliwa.
Wako mtiifu,
ALFRED E MREHU,
0752892983.
ANGELINA KILALA
Sat, 2 Sep 2017 08:23 EDT
TANZANIA, DAR ES SALAAM
YAH:MAOMBI YA KUFUNDISHA KISWAHILI RWANDA
Rejea mada tajwa hapo juu,Mimi ni Mtanzania halisi nimehitimu elimu ya chuo kiuu katika chuo kikuu cha Dodoma katika moasomo ya uwalim na kiswahili (EDN Kiswahili). Hivyo ninaomba nafasi ya kufundisha lugha ya kiswahili nchini Rwanda
namba za mawasiliano ni-0718024156,0785798992
Barua pepe- ajkilala68@gmail.com

Post a comment on this page

We invite you to share your experiences with the Rwandan Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.

Your name
Headline
Your message
Max 2000 characters
 

This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Rwanda, and such topics will be deleted.