Embassy of Rwanda in Addis Ababa
Address | AFRICA Avenue H17K-20 N°001 BP 5618 Addis Abeba (Addis Ababa) Ethiopia |
---|---|
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
ambaaddis@ |
Address | AFRICA Avenue H17K-20 N°001 BP 5618 Addis Abeba (Addis Ababa) Ethiopia |
---|---|
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
ambaaddis@ |
Comments on this Embassy
I want to join illuminati
Hello, greetings to everyone. I have a proposition of mutual benefits regarding joining Illuminati Brotherhood � Bringing the poor, the needy and the talented to limelight of fame and riches. Get money, fame, powers, security, get recognized in your business, political race, rise to the top in whatever you do, be protected spiritually and physically! All these you will achieve in a twinkle of an eye when you get initiated into the brotherhood. Kindly message me on my whatsapp on +1 (404)369-5036 if interested in joining the great ILLUMINATI EMPIRE.
Rejea kichwa cha barua hapo juu chahusika sana.mimi nimtanzania mwenye umri wa miaka 30.Nimehitimu katika chuo kikuu cha mtakatifu Agostino tanzania katika somo la kiswahili.ninaweledi mkubwa katika kufundisha somo la kiswahili.
Hivyo naomba nafasi ya kufundisha lugha ya kiswahili kwani nina uzoefu mkubwa unaoambatana na kipaji.
Ninatumaini kuwa ombi langu litafanikiwa
Wako katika Kiswahili
Mawasiliano 0742769461
Email: madarakaj3@gmail.com
Husika na mada tajwa hapo juu. Mimi nina umri Wa miaka 29 ni mhitimu Wa shahada ya elimu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam. Nina fundisha masomo ya kiswahili na kiingereza. Ombi langu ni kufundisha somo kiswahili kwa shule za msingi mpaka sekondari nchini Rwanda na sehemu yoyote duniani ambapo nafasi hizo zinapatikana. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu huku nikiamini kuwa ombi langu litakubaliwa. Mawasiliano:+225-0743-075980 Barua pepe jiyabom152@gmail.com
To all/Interpol Rwanda
The above refers.
An arrest is required.
Dr Muyango Emile Karama
T00007190
Mimi ni kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 34,nimehitimu elimu ya chuo kikuu nchini tanzania katika chuo kikuu cha Tumaini Tawi la Dar es salaam mwaka 2017 katika ngazi ya shahada ya kwanza ya elimu katika masomo ya kiswahili na historia. ninaomba nafasi ya kufundisha somo la kiswahili nchini ETHIOPIA. niko tayari kufanya kazi katika mazingira yoyote na kwa mshahara wowote. nina imani kuwa ombi langu litapewa kipaumbele. asante sana na barikiwa.
barua pepe: dawoodman06@yahoo.com
davidmanyenye06@gmail.com
simu ya mkononi: 0717 063 623
0768 171 333
I'm an athlete I registered to take part on Rwanda peace marathon competition on May 21,2017. So what I have to do to get a visa from embassy? and also what is the price of it?
Thanks.
Husika na somo tajwa hapo juu kama linavyo jieleza. Mimi ni Kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 26 nimehitimu Shahada ya ualimu mwaka 2015 katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es salaam (MUCE). Nachukua fursa hii kuomba nafasi ya ualimu wa kufundisha lugha ya kiswahili ndani ya nchi ya Rwanda kwa kuwa nina ujuzi na uelewa mkubwa juu ya lugha hii ya kiswahili ambayo katika nchi yangu ndio lugha kuu ya Taifa.
Asante
Wako mtiifu.
Dotto Gabriel Melani
Mawasiliano +255 753 084 780
email: dottomelan@gmail.com
Post a comment on this page
We invite you to share your experiences with the Rwandan Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.
This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Rwanda, and such topics will be deleted.