Embassy of Rwanda in Dar es Salaam
Address | 32, Ali Hassan Mwinyi Road Dar es Salaam Tanzania |
---|---|
Postal | PO Box 2918 |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
ambadsm@ |
Address | 32, Ali Hassan Mwinyi Road Dar es Salaam Tanzania |
---|---|
Postal | PO Box 2918 |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
ambadsm@ |
Comments on this Embassy
Naomba nafasi ya kufundisha Kiswahili nchini Rwanda. Nimehitimu Shahada ya kwanza ya Isimu katika Kiswahili (BA Kiswahili Linguistics) UDOM kwa mawasiliano 0762161067
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu. Mimi ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 24. Nimehitimu shahada yangu ya ualimu katika chuo kikuu cha Dar es Salaam (MUCE) 2015, katika masomo ya Kiswahili na Kiingereza. Naomba nafasi ya kufundisha Somo la Kiswahili nchini mwako. Hii itakuwa nyenzo ya kupanua wigo wa lugha ya Kiswahili nchini Rwanda.
Natumaini kuwa ombi langu litazingatiwa.
Ahsante.
Talila Abdalah
0655075759
0767075759
Barua pepe: ph.m.talila@gmail.com
Kichwa cha hapo juu chahusika, ninayoheshima kuomba nafasi ya kufundisha kiswahili katika shule za sekondari na vyuo nchini Rwanda. Kwa uzoefu nilionao katika kufundisha somo hili unanifanya niutoe na kushirikiana na wanyarwanda katika kukieneza kiswahili. Pia ninaongea lugha mbalimbali za kimataifa kiwamo Kiswahili,Kiingereza na Kifaransa.
Mawasiliano. 0672781933 na ngonyanijohnbosco@gmail.com
I am applying for a teaching job. I am a Tanzanian graduated in bachelor of education from the university of Arusha majoring in Kiswahili and minoring in English. I am also speaking Kiswahili, English and French.
Please contact me on 0782170518 and ngonyanijohnbosco@gmail.com
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu kishiriki cha mtakatifu Augustino Tanzania(AMUCTA) cha Tabora. Nimehitimu katika shahada ya sanaa na elimu(BAED) katika masomo ya Jografia na Kiswahili. Naomba nafasi hii nami nitoe ujuzi wangu wa lugha ya kiswahili kwa wahitaji wa Rwanda katika ngazi za elimu ya msingi ,sekondary na vyuo. Asante.
Mawasiliano: +255759375007/+255784594863
Email: benedictokashaija@gmail.com
Husika na kichwa cha Habari hapo juu. Mimi ni mvulana. Mwenye umri wa miaka 25 ni mtanzania niliyehitimu elimu ya chuo kikuu cha Saint auguustine mwanza (SAUT) mwaka 2015 nimemaliza shahada ya Sanaa na elimu katika masomo ya kiswahili na geografia natafuta kazi ya kufundisha kipindi cha kiswahili
Mawasiliano 0766165192
Email:audaxoberd@gmail. come
Rejea mada tajwa hapo juu.Mimi ni muhitimu wa chuo Kikuyu cha Dar es salaam katika Masomo ya kiswahili na kiingereza.Nina uzoefu katika kufundisha masomo haya kwa miaka 4 sasa.naweza kufanya kazi sehemu yoyote.nitafurahi endapo ombi language litakubaliwa.e mail yangu ni rubheje2005@yahoo.com.mobile 0766366189.
Mimi ni mtanzania kwa kuzaliwa(25),kwa sasa ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Dar es salaam.Natarajia mwezi wa saba mwakani kumaliza masomo. Baada ya hapo naomba kupewa nafasi ya kufundisha kiswahili kwani ndilo moja ya masomo yangu ya kufundishia na nilishawahi kuwa na ndoto ya kuja kufanya hivyo, nitafurahi sana kupata nafasi hiyo.Barua pepe yangu ni
haulejacob@yahoo.com. 0758977510
I am John,a graduate from mount kenya university Thika-Kenya. My wish is to secure a slot as a teacher in any High School in Rwanda. please assit. my e-mail is jngunjiri09@gmail.com
I am a Tanzanian citizen with 35 years old. I completed my first degree in Kiswahili and History at University of Dar es Salaam. There after i joined the same University for further education and later awarded a certificate of Master of education in Arts.Now i would like to ask your embassy to consider my application so that i can use my potentials for the attainment your country's goals.
My email address is: williamdamuwan@yahoo.co.uk
Post a comment on this page
We invite you to share your experiences with the Rwandan Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.
This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Rwanda, and such topics will be deleted.