High Commission of South Africa in Dar es Salaam
High Commissioner | T.D. Mseleku |
---|---|
Address | Plot 218/50 Corner Garden Avenue and Shabani Robert Road Dar es Salaam Tanzania |
Postal | PO Box 10723 Ilala District |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
sahc. | |
Hours | Monday - Thursday 08.30 - 16.30 Friday 07.30 - 13.30 Visa service 08.00 - 11.30 (Friday 08.00 - 10.30) |
Comments on this High Commission
I want to have a visa to South Africa,Could you please give me a visa ,I forget to do it.thank you
Hello how ar you doing overthere?Iam Tanzanian Trucking Driver aged 34yrs with ten experience in long way truck driving.
I want to get employed in south africal so i need to know how to get work permit and how much per six months and per one year.
Please contact me through my email address (Mussalazaro54@gmail.com)
My mobile phone number (+255782484378 or +255762303424)
Thank you.
Your's Mussa Augustino.
Tafadhali husika na mada iliyopo hapo juu.Mimi ni mtanzania mwenye asili ya Zanzibar niliye na umri.wa miaka 34 .Nimemaliza shahada na stashahada ya ualimu wa somo.la kiswahili na kiengereza chuo cha taifa Zanzibar(SUZA) mwaka 2006-2012.Nina uzowefu wa kufundisha somo ls kiswahili kwa miaka mitano kwa kiwango cha wanafunzi wa sekondari na msingi.
Ni matumaini yangu kua ombi langu litapokelewa na kukubaliwa kww moyo mkunjufu kabisa...
ahsante sana wako mw Hemed .no.0777454658. Email{ hemedh152@gmail.com}
Tafadhali husika na mada hiyo hapo juu. Mimi ni Mtanzania, nimemaliza masomo yangu ya chuo kikuu cha Waislam cha Morogoro mwaka 2015. Nimesomea kiswahili na Historia. Pia nina uzoefu wa kufundisha miaka zaidi ya miwili,ninawwza kuzungumza na kuandika kiswahili na kiengereza kwa ufasaha mkubwa. Naomba kupatiwa nafasi hii na naahidi kuwa nitafundiaha na nitaeleweka vyema kwa wanafunzi.ahsanteni sana.
Kwa mawasiliano
+255652772783
+255777772783
Kichwa cha habari hapo juu cha husika.
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 27 nilimehitimu kutoka chuo kikuu cha Dar -es- Salaam (University of Dar-es-Salaam) mwaka 2015 nilisomea taaluma ya ualimu wa masomo ya Kiswahili na Jiografia na kufanikiwa kutunukiwa shahada ya kwanza ya Heshima daraja la pili ya Ualimu wa masomo wa sanaa.
Ninapenda kutumia fursa hii kuuomba ubalozi wa Afrika ya kusini hapa nchini kunipa nafasi ya kufundisha lugha hii adhimu, awishi na isiyo na uchechefu ya kiswahili nchini ya Afrika ya kusini kwa ngazi ya shule za msingi, upili (sekondari), vyuo (college) na vyuo vikuu (University) kwa kuwa nina uzoefu (tajiriba) ya kufundisha lugha hii kwa muda wa miaka mitatu katika shule mbalimbali za sekondari na vyuo.
Vile vile nimebahatika kuhudhuria makongamano mbalimbali ya Kiswahili ndani na nje ya nchi yenye lengo la kukikuza na kukieneza kiswahili kupitia asasi ya CHAWAKAMA (chama cha wanafunzi wa Kiswahili wa vyuo vikuu Afrika mashariki) kwa hivyo naamini maarifa na ujuzi mbalimbali niliopata katika lugha ya kiswahili nitaweza kutumia katika kufanikisha kufundisha Kiswahili kwa uweledi uliotukuka kwa wageni katika nchi mbalimbali ili kufanya lugha hii kufikia hadhi ya kuwa lugha ya bara la Afrika.
Kwa sasa mimi ni mtaaaluma, mkuu wa idara ya lugha ya Kiswahili na mwalimu wa somo la Kiswahili katika chuo cha YCS College of Africa kilichopo mkoa wa Kilimanjaro kwa ngazi ya shule ya upili (sekondari) kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Hivyo nina imani maarifa na ujuzi nilionao vitakuwa chachu ya kufundisha lugha hii kwa vizuri kwa wageni.
Ni matumaini yangu kuwa maombi yangu yakubalika na kufanyiwa kazi.
Wako katika ujenzi wa Taifa,
Nelson F. Urassa
Mawasiliano ya kiganjani: +255762556519
Barua pepe: urassa.nelson@yahoo.com
Tafadhali husika na mada ya hapo juu, Mimi ni mtanzania wa kuzaliwa,mwenye umri wa miaka 27 na ni mweledi sana wa kuzungumza na kufundisha lugha ya kiswahili kwa wazawa na wageni, niliwahi Kua mwalimu wa kufundisha kiswahili kwa wageni katika chuo kikuu cha Zanzibar Suza, kwa muhula mmoja, nimehitimu masomo yangu ya shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha Zanzibar Suza,na kuhitimu kwa daraja la 2 la heshima katika Somo la kiswahili, nna uzowefu wa kufundisha kiswahili kwa miaka 6, hadi sasa nafundisha kiswahili katika skuli ya Mahad istiqama tunguu Zanzibar,
Natumai ombi langu litafikiriwa na kukubaliwa kwa moyo mkunjufu, kwa mawasiliano zaidi, 0772962918
hello
I am tanzanian.I wanted to do business with apsa used equipment.I wanted to buy tractor. is it safe for me to do business with them?can I get assistant from embassy? I wanted to business. with them but I didn't get any body who know them from Tanzania.thanks.I hope to hear from you soon
Calvin maro
calvinmaro@yahoo.com
+255767224434
Dear, Embassy of SOUTH AFRICA
I am a male aged 25 yrs old rising from a poor family, I have completed Bachelour in human resource at mzumbe University 2014. I hope you to help me by scholarship to do my masters degree studies of Health management systeam . I hope and I believe that my request will be considered. and am ready to agree all terms and condition of Scholarship.Thank you. I am looking forward for your help and be BLESSED.
Regards
+255 713790728
+255 622630002
materunike6@gmail.com
Hello!!!!
I wanted to know the cost of renewing a student visa. And the required documents. Thank you.
His Excellences; Shalom & Zoe from Morogoro Municipality in Tanzania. The heading above refers. I'm taking this opportunity to send you my sad haerted through South Africa Johanesburg International Trucking on Transit Mail Center Post Office(JHB INT MAIL CENTRE) did to me. My wife namely:- Mrs.Delia Nebrida Adamas Brgy.Lower Libertad;GAMAY;Northerm Samar 6422.PHILIPPINES. Send to me two things:- a.Money Register No:RR 004 354 817 PH posted on September 19th;2016 of some 3,000.00 Pesos ; b. Invitation Card for Christmas,these things on 23rd October 2016 was reported in Johanesburg South Africa trucking on transit directed:- C/ O Mrs.Paulleth Saillen Massatu. P.O.Box 1868. Morogoro; Tanzania. East Africa. This report through IPS network. So from this time up today these two trucking things are still remain in Johanesburg Post Office in South Africa. P'se your office help to receive these things soon. I'm waiting to hear more from your office. My contact: revbonmhagama2007@gmail.com
Post a comment on this page
We invite you to share your experiences with the South African High Commission — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.
This web site is not operated by the High Commission and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of South Africa, and such topics will be deleted.