Tanzanian flag Embassy of Tanzania in Muscat

AddressWAY NO. 2135
BULDING NO. 1798
MADINAT AL SULTAN
QABOOS STREET
AL-KHUWAIR
Muscat
Oman
PostalPO Box 1170, POST CODE 133
Phonelocal: 2460.1174
international: +968.2460.1174
Faxlocal: 2460.4425
international: +968.2460.4425
Emailtanmuscat@omantel.net.om

Comments on this Embassy

Wendy Woolner
Thu, 14 Feb 2013 06:55 EST
Tanzania visa
My friend and I are planning to travel to Zanzibar from Muscat end of March. Could you please send directions on how to get to your Embassy. Would you also be able to tell me how long it would take to get a visa.

Thank you

Kind regards
Wendy Woolner
ASMAH YAHYA
Sat, 9 Feb 2013 05:37 EST
YAH: MAJIBU KWA MAONI YA WASOMAJI
NDUGU WATANZANIA WENZANGU TUJIFUNZE KUSOMA MAELEKEZO NA KUYAELEWA. UKISOMA CHINI YA KIBOKSI UNACHOANDIKA MAONI YAKO IMEANDIKWA KABISA WEB SITE HII SI YA UBALOZI WA TANZANIA HIVYO BASI HATA MAONI UNAYOYASEMA HAYAWEZI KUUFIKIA UBALOZI NDIO MAANA MNAONA HAMNA MAJIBU KWA MAONI MNAYOYATOA. UKIWA NA KERO YEYOTE KUHUSU UBALOZI TUMA KWENYE EMAIL: tamuscat@omantel.net.om AU namba za simu +968 24601174 au Fax +968 24604425 hizo ndio address za ubalozi, tuma maoni yako ukitaja jina kamili na unapatikanaje ili majibu yakufikie
marandu
Tue, 5 Feb 2013 05:49 EST
business
what business can I IMPORT FROM TANZANIA TO OMAN?
Annie
Thu, 31 Jan 2013 11:40 EST
NATAFUTA KAZI ZA NDANI (HOUSEMAID)
Mimi ni msichana nina umri wa miaka 21 naishi Dodoma Tanzania. Natafuta kazi za ndani ili baadae nijiendeleze kielimu elimu yangu ni kidato cha nne. Naomba mnisaidie ndugu zangu. Namba yangu ni +255657444458. Ahsnten.
Annie
Thu, 31 Jan 2013 02:59 EST
Natafuta kazi ya ndan
Mimi ni msichana nina miaka 21 natafuta kazi ya ndani
seif issa al-kindi
Wed, 2 Jan 2013 04:43 EST
si kweli kila mtu ananyanyaswa hapa oman
Mimi ni mtanzania nafanya kazi hapa Oman ktk comp,tatizo la watanzania wengi tunaponzwa na mdomo,hatutaki kufanya kazi vzr,tunawajibu vibaya walio tuajiri.Nawapo watu wengine huenda hawatendei vzr wafanyakazi wao,hawawapi ata off kama wahindi,waphilipine wanapata off kila ijumaa.
Abu_Jaal
Sat, 29 Dec 2012 07:43 EST
Majibu ya Walalamikaji
Nnna voona mimi watu wengi humu kwa mujibu ya maombi yao wanataraji wapate jawabu kutoka ubalozini. Lakini kinacho staajabisha sikuona hata ombi moje lilopata jawabu. Jee mtandao huu ni kupiga domo kama baraza la mkahawa?
Khalid
Tue, 25 Dec 2012 01:33 EST
PRESIDENT KIKWETE OMAN VISIT FEEDBACK
I would appreciate to see Presidend Kikwete's feedback is posted on the WEB if it is possible. Owing to the demands of my work schedules in the desert I cannot attend any of the embassy meetings that have been announced this month. I would appreciate if an alternate solution to get feedback in writing is made if it cannot be posted.
maisara mohamed
Fri, 21 Dec 2012 00:34 EST
NATAFUTA KAZI
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka ishirini niko hapa oma nafanya kazi za ndani lakini naomba msaada wenu kama naweza kupata kazi nyingine kwa hapa muscat tofauti na hii niliyo nayo sasa elimu yangu ni sekondari kidato ncha nne, nazungumza kiingeza na kiswahili..naba yangu ya simu ni +96895184648 na Mail yangu ni may001@yahoo.com nitashukuru kama nitafanikiwa.
Said Salum
Mon, 19 Nov 2012 05:10 EST
House Maid Contracts.
Your Highness the Ambassador.
Can you please keep us clear on this long pending issue. When will the Tanzanian Gov finilise these contract so we could alowed to hire Domestict Helpers from TZ?

Thanks... Said.

Post a comment on this page

We invite you to share your experiences with the Tanzanian Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.

Your name
Headline
Your message
Max 2000 characters
 

This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Tanzania, and such topics will be deleted.