Tanzanian flag Embassy of Tanzania in Muscat

AddressWAY NO. 2135
BULDING NO. 1798
MADINAT AL SULTAN
QABOOS STREET
AL-KHUWAIR
Muscat
Oman
PostalPO Box 1170, POST CODE 133
Phonelocal: 2460.1174
international: +968.2460.1174
Faxlocal: 2460.4425
international: +968.2460.4425
Emailtanmuscat@omantel.net.om

Comments on this Embassy

Naitwa hadija j halfani
Sat, 16 Jun 2018 01:22 EDT
+255769034698
Kuna ndugu yangu anaishi huko Oman maeneo ya barka anashida mabosi zake hawamlipi mshahara kama inavyotakiwa anaomba asaidiwe kupata mshahara wake kwa haraka
ibrahm
Wed, 13 Jun 2018 05:25 EDT
natafuta kazi
naitwa ibrahm wa masasi mtwara natafuta kazi halali ya aina yeyote km house.garden.duka.n.k call 0678666063 nb huna chamsingi usinitafute be serious
Saidi Omary
Sat, 3 Mar 2018 12:20 EST
Natafuta kazi
Kwajina naitwa said Nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni darasa la 7 najua kiswahili tu. Pia fani yangu ni ufundi magari madogo na pia ni dereva nnauzoefu wa miaka5 ktk ufundi na udereva ni miaka 3.natafuta kazi yoyote Ile ya kiume hata ya usafi nk.. Whatsapp namba yangu 0653258290 Napatikana DAR es salaam
Saidi Omary
Sat, 3 Mar 2018 12:17 EST
Natafuta kazi
Kwajina naitwa said Nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni darasa la 7 najua kiswahili tu. Pia fani yangu ni ufundi magari madogo na pia ni dereva nnauzoefu wa miaka5 ktk ufundi na udereva ni miaka 3.natafuta kazi yoyote Ile ya kiume hata ya usafi nk.. Whatsapp namba yangu 0653258290 / email, Saidiomary159@gmail.com. Napatikana DAR es salaam
Hussein khamis
Thu, 1 Mar 2018 14:10 EST
Natafuta Kazi yoyote
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 19 natafuta kazi yoyote Nina elimu ya kidato cha nne nazungumza kiswahili na kiingereza Nina passport kabisa msaada tafadhali namba yangu ya simu hizi hapa+255679089791 au +255687590799
Na anuani yangu hii husseinkhamis048@gmail.com
Naomba msaada
issa sanjari issa
Wed, 31 Jan 2018 06:27 EST
Hey msaaada kwawale waliopigwa block bila kisa wanasaidiwa vp
SULEIMAN
Tue, 21 Nov 2017 13:49 EST
NATAFUTA KAZI
Mm nikijana mwenye umri wa miaka 24 mwenye elimu ya kidato cha nne natafuta kaz yeyote nina passport. Email selemanikhms26@gmail.com
Mohammed Saidi faraji
Tue, 31 Oct 2017 09:26 EDT
Natatafuta ukoo wangu upo Oman
Asalaam aleykum,natafuta ukoo wangu wa Timami upo Oman.
Haruna Omary
Wed, 25 Oct 2017 05:40 EDT
NATAFUTA KAZI
Natafuta kazi yeyote mim nikijana mwenye umri wamiaka 20 NI MTANZANIA halisi.elimu yangu darasa la 7 ntashukulu ombilangu likikubaliwa...
harunaomary30@gmail.com
0766_312424
ZUBERI YASSIN
Thu, 19 Oct 2017 02:10 EDT
TECHNICIAN AND DRIVER
Naitwa zuberi.nina cheti cha udereva daraja c1,c2 nac3 na cheti cha ufundi daraja la kwanza, naomba kazi mojawapo kwakua zote nina uzoefu wa miaka 7 sasa.+255786307533 email:zuberi.yassin@yahoo.com

Post a comment on this page

We invite you to share your experiences with the Tanzanian Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.

Your name
Headline
Your message
Max 2000 characters
 

This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Tanzania, and such topics will be deleted.