Embassy of Tanzania in Muscat
Address | WAY NO. 2135 BULDING NO. 1798 MADINAT AL SULTAN QABOOS STREET AL-KHUWAIR Muscat Oman |
---|---|
Postal | PO Box 1170, POST CODE 133 |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
tanmuscat@ |
Address | WAY NO. 2135 BULDING NO. 1798 MADINAT AL SULTAN QABOOS STREET AL-KHUWAIR Muscat Oman |
---|---|
Postal | PO Box 1170, POST CODE 133 |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
tanmuscat@ |
Comments on this Embassy
Kuna ndugu yangu anaishi huko Oman maeneo ya barka anashida mabosi zake hawamlipi mshahara kama inavyotakiwa anaomba asaidiwe kupata mshahara wake kwa haraka
naitwa ibrahm wa masasi mtwara natafuta kazi halali ya aina yeyote km house.garden.duka.n.k call 0678666063 nb huna chamsingi usinitafute be serious
Kwajina naitwa said Nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni darasa la 7 najua kiswahili tu. Pia fani yangu ni ufundi magari madogo na pia ni dereva nnauzoefu wa miaka5 ktk ufundi na udereva ni miaka 3.natafuta kazi yoyote Ile ya kiume hata ya usafi nk.. Whatsapp namba yangu 0653258290 Napatikana DAR es salaam
Kwajina naitwa said Nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni darasa la 7 najua kiswahili tu. Pia fani yangu ni ufundi magari madogo na pia ni dereva nnauzoefu wa miaka5 ktk ufundi na udereva ni miaka 3.natafuta kazi yoyote Ile ya kiume hata ya usafi nk.. Whatsapp namba yangu 0653258290 / email, Saidiomary159@gmail.com. Napatikana DAR es salaam
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 19 natafuta kazi yoyote Nina elimu ya kidato cha nne nazungumza kiswahili na kiingereza Nina passport kabisa msaada tafadhali namba yangu ya simu hizi hapa+255679089791 au +255687590799
Na anuani yangu hii husseinkhamis048@gmail.com
Naomba msaada
Mm nikijana mwenye umri wa miaka 24 mwenye elimu ya kidato cha nne natafuta kaz yeyote nina passport. Email selemanikhms26@gmail.com
Asalaam aleykum,natafuta ukoo wangu wa Timami upo Oman.
Natafuta kazi yeyote mim nikijana mwenye umri wamiaka 20 NI MTANZANIA halisi.elimu yangu darasa la 7 ntashukulu ombilangu likikubaliwa...
harunaomary30@gmail.com
0766_312424
Naitwa zuberi.nina cheti cha udereva daraja c1,c2 nac3 na cheti cha ufundi daraja la kwanza, naomba kazi mojawapo kwakua zote nina uzoefu wa miaka 7 sasa.+255786307533 email:zuberi.yassin@yahoo.com
Post a comment on this page
We invite you to share your experiences with the Tanzanian Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.
This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Tanzania, and such topics will be deleted.