Tanzanian flag Embassy of Tanzania in Muscat

AddressWAY NO. 2135
BULDING NO. 1798
MADINAT AL SULTAN
QABOOS STREET
AL-KHUWAIR
Muscat
Oman
PostalPO Box 1170, POST CODE 133
Phonelocal: 2460.1174
international: +968.2460.1174
Faxlocal: 2460.4425
international: +968.2460.4425
Emailtanmuscat@omantel.net.om

Comments on this Embassy

HAMADI.S.MOSHA
Sat, 23 Aug 2014 05:29 EDT
UNEMPLOYMEMT
ABOVE NAME IS MINE.GOOD DRIVER .O.LEVEL.V.I.P.GRADE II OFN.IT COLLAGE.ABDC1 C2C3.AND E LECENC IHAVE
Adam Harton
Mon, 18 Aug 2014 17:53 EDT
I am looking for the job as the driver.
I am living dar es salaam, My driver licence class are A,B,D and E... Call +255712666752
reuben
Fri, 15 Aug 2014 12:13 EDT
nafasi ya kaz ya udrerva
Habari! Natafuta kaz ya udereva ninauzoefu wa miaka 6 ni muhitimu wa kidato cha nne pia ninachert cha udereva kutoka NIT kozi ya V.I.P grade II nina lesen class A.B.C.D.E atakayesikia nqmba yangu ya simu 0715 384 368 nipo Dar es salaam.
evansi
Thu, 14 Aug 2014 08:23 EDT
0753939619 AU 0655339619.
ndugu,watanzania wenzangu.mimi ni kijana shupavu na mchapa kazi.najitokeza kuomba kazi ktk sehemu mojawapo kati ya hizo hapo chin:kuandaa takwimu ktk ofisi,kutunza kumbukumbu za kibiashara. stoo kepper" msimamiz wa pub,hotel nk.au nyingne yoyote halali. nina elmu ya iv,mafunzo ya komputer, pia naweza kutumia lugha za kiswahl na kingereza kwa ufasaa! 0753939619 KWA WENYE NIA NJEMA NAWAKARIBISHA SANA.
Msabah Amoury Ally
Mon, 11 Aug 2014 14:29 EDT
Kazi ya udereva nina leseni A B C ninauzoefu miaka 8 nategemea ombi ombilangu litashughulikiwa ahsanteni sana
0773287704
shaaban hassan
Sat, 9 Aug 2014 14:32 EDT
NATAFUTA KAZI
namba ya sm ni 0712 090563 maelezo yote yapo chini
shaaban hassan
Sat, 9 Aug 2014 12:48 EDT
NATAFUTA KAZI
A.alyekum naitwa shaaban hassan shaaban nina umri wa miaka 25 natafuta kazi ya udereva magari makubwa hata madogo pia ninauzoefu wa miaka mitano (5) sasa tangu nimeingia kwenye fan za magari leceni yangu ni B,D,E pia naongea lugha mbili english na kiswahili, AKHASANTE
hamisi ally
Thu, 7 Aug 2014 17:12 EDT
0766876113
asalam aleykum niko nzega tabora natafuta kazi yoyote ila nauzoefu wakazi mbili makenika miaka 2 fundi selemala miaka 8 naumri wa miaka 26 wabilah wataufiki asalam aleykum
Phares Ossere
Tue, 5 Aug 2014 03:14 EDT
natafuta kazi ya udereva
mimi ni Mtanzania 24 yrs. nina leseni ya daraja D natafuta kazi
Phares Ossere
Tue, 5 Aug 2014 03:04 EDT
natafuta kazi
natafuta kazi ya udereva wa magari madogo na ya kati, nina leseni ya daraja D. asanteni

Post a comment on this page

We invite you to share your experiences with the Tanzanian Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.

Your name
Headline
Your message
Max 2000 characters
 

This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Tanzania, and such topics will be deleted.