Tanzanian flag Embassy of Tanzania in Muscat

AddressWAY NO. 2135
BULDING NO. 1798
MADINAT AL SULTAN
QABOOS STREET
AL-KHUWAIR
Muscat
Oman
PostalPO Box 1170, POST CODE 133
Phonelocal: 2460.1174
international: +968.2460.1174
Faxlocal: 2460.4425
international: +968.2460.4425
Emailtanmuscat@omantel.net.om

Comments on this Embassy

john w singunda
Thu, 12 Feb 2015 10:45 EST
looking for any job/natafuta kaz yoyote almrad halal
ndugu watanzania natafuta kazi yoyote. elimu yangu form six, computer literate na nna leseni ya udereva class a,b,d&e naweza endesha hadi malori na cheti cha veta driving course

cont:0757141471
abdul
Sun, 8 Feb 2015 01:48 EST
natafuta kazi ya udereva
Mary james
Tue, 27 Jan 2015 08:00 EST
Kazi za ndani DUBAI
Naumri wa miaka 21 natafuta kazi za ndani dubai,namba yangu ni 0683513553.
David m.mahalila
Fri, 23 Jan 2015 07:49 EST
Natafuta kazi ya udereva. Katika nchi ya oman na south afrika na dubei.
my nam's david michael mahalila. nikijana mwenye umri wa miaka (35) natafuta kazi ya udereva kwa bara la afrika masharik na nje ya nchi. Dubei, south afrika na Oman. Elimu yangu ni diploma in management and administration.& certificate of professional competence. from National intitute of transport (N I T)
I have ever passed to the machanks for to years.
watanza wenzangu namuombeni sana kwa ujumla. munapo sikia kuna issue ya kazi za udereva na ufundi. munitafute kwa no.0654650700/0762207983/DSM TZ ahsateni kwa heshima zenu. kurahisishia kutuma maombi kwa sehemu husika. ahsaten.
david michael
Fri, 23 Jan 2015 06:55 EST
dar.es.salaam
ndugu watanzi wenzangu. natafuta kazi ya udereva sehemu yoyote ile.nafanya kazi. elimu yangu ni diploma.pia i have ever passed to the machanks for to years. my licence.E&..C nimesoma National Istitute of transport (N I T) glade (ii)VIP& glade (iii) psv. namuombeni mulio jaliwa na mwenyezimungu.na sisi mtupatie nafasi za kazi. kwa mawasiliano yangu. 0654650700/0762207983.dsm tanzania naomba ushilikiano wenu. ahsateni.
Moh'd Ali Mussa
Wed, 14 Jan 2015 03:39 EST
natafuta kazi oman
a.alaikum mimi nikijana mwenye umri wa miaka ishirini na saba ambae nimemaliza diploma ya procurement and supply now naendelea na bachelor degree ya corse hiyo hiyo. tafadhali naomba nipatiwe ajira number 0778039898
email modaluch@gmail.com
faisal said
Wed, 7 Jan 2015 00:46 EST
dreva
natafuta kazi ya udereva nina leseni class c ninaumri wa miaka 27 ninauzpefu wa kutosha wa magari yote yani makubwa na madogo na ya abiria
Hadija said mohamed ngwanga
Tue, 6 Jan 2015 20:30 EST
Msaada wa kurudi tanzania
Mie ni mtanzania niliekuja kufanya kazi za ndani oman.nimeshindwa kuhilimili kazi kwa hiyo nilikua naomba msaada ili niweze kurudi tanzania,maana sina uwezo huo wa kujilipia naili.na tatizo lingine ni kwamba hawa watu wanadai niwarudishie gharama zao ambazo kwa kweli mie wala familia yangu hatuna uwezo wa kulipa.kwa hiyo nilikua naomba msaada wenu nipate kurudi tanzania,asanteni.Namba yangu ya simu ni 94305575.
Mohamed salum
Sun, 21 Dec 2014 11:50 EST
lookinh for job
Am a Tanzanian educated holding a bachelor degree of social work and social administration +255767024142 modysalim10@gmail.com ..kindly contact me.thanks
naitwa elias magasha no 0758956639
Sat, 13 Dec 2014 01:51 EST
tanzani
natafuta kazi ya udereva gari ya aina yeyote nikijana mwenye umri wa miaka26 ninauzoefu wa miaka miwili na kazi hii naomben sana jaman kwama wasiliano zaidi piga cm 0758956639

Post a comment on this page

We invite you to share your experiences with the Tanzanian Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.

Your name
Headline
Your message
Max 2000 characters
 

This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Tanzania, and such topics will be deleted.