Embassy of Tanzania in Muscat
Address | WAY NO. 2135 BULDING NO. 1798 MADINAT AL SULTAN QABOOS STREET AL-KHUWAIR Muscat Oman |
---|---|
Postal | PO Box 1170, POST CODE 133 |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
tanmuscat@ |
Address | WAY NO. 2135 BULDING NO. 1798 MADINAT AL SULTAN QABOOS STREET AL-KHUWAIR Muscat Oman |
---|---|
Postal | PO Box 1170, POST CODE 133 |
Phone | local: international: |
Fax | local: international: |
tanmuscat@ |
Comments on this Embassy
ndugu watanzania natafuta kazi yoyote. elimu yangu form six, computer literate na nna leseni ya udereva class a,b,d&e naweza endesha hadi malori na cheti cha veta driving course
cont:0757141471
Naumri wa miaka 21 natafuta kazi za ndani dubai,namba yangu ni 0683513553.
my nam's david michael mahalila. nikijana mwenye umri wa miaka (35) natafuta kazi ya udereva kwa bara la afrika masharik na nje ya nchi. Dubei, south afrika na Oman. Elimu yangu ni diploma in management and administration.& certificate of professional competence. from National intitute of transport (N I T)
I have ever passed to the machanks for to years.
watanza wenzangu namuombeni sana kwa ujumla. munapo sikia kuna issue ya kazi za udereva na ufundi. munitafute kwa no.0654650700/0762207983/DSM TZ ahsateni kwa heshima zenu. kurahisishia kutuma maombi kwa sehemu husika. ahsaten.
ndugu watanzi wenzangu. natafuta kazi ya udereva sehemu yoyote ile.nafanya kazi. elimu yangu ni diploma.pia i have ever passed to the machanks for to years. my licence.E&..C nimesoma National Istitute of transport (N I T) glade (ii)VIP& glade (iii) psv. namuombeni mulio jaliwa na mwenyezimungu.na sisi mtupatie nafasi za kazi. kwa mawasiliano yangu. 0654650700/0762207983.dsm tanzania naomba ushilikiano wenu. ahsateni.
a.alaikum mimi nikijana mwenye umri wa miaka ishirini na saba ambae nimemaliza diploma ya procurement and supply now naendelea na bachelor degree ya corse hiyo hiyo. tafadhali naomba nipatiwe ajira number 0778039898
email modaluch@gmail.com
natafuta kazi ya udereva nina leseni class c ninaumri wa miaka 27 ninauzpefu wa kutosha wa magari yote yani makubwa na madogo na ya abiria
Mie ni mtanzania niliekuja kufanya kazi za ndani oman.nimeshindwa kuhilimili kazi kwa hiyo nilikua naomba msaada ili niweze kurudi tanzania,maana sina uwezo huo wa kujilipia naili.na tatizo lingine ni kwamba hawa watu wanadai niwarudishie gharama zao ambazo kwa kweli mie wala familia yangu hatuna uwezo wa kulipa.kwa hiyo nilikua naomba msaada wenu nipate kurudi tanzania,asanteni.Namba yangu ya simu ni 94305575.
Am a Tanzanian educated holding a bachelor degree of social work and social administration +255767024142 modysalim10@gmail.com ..kindly contact me.thanks
natafuta kazi ya udereva gari ya aina yeyote nikijana mwenye umri wa miaka26 ninauzoefu wa miaka miwili na kazi hii naomben sana jaman kwama wasiliano zaidi piga cm 0758956639
Post a comment on this page
We invite you to share your experiences with the Tanzanian Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.
This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Tanzania, and such topics will be deleted.