Rwandan flag Embassy of Rwanda in Dar es Salaam

Address32, Ali Hassan Mwinyi Road
Dar es Salaam
Tanzania
PostalPO Box 2918
Phonelocal: (022) 213.0119
international: +255.22.213.0119
Faxlocal: (022) 211.5888
international: +255.22.211.5888
Emailambadsm@minaffet.gov.rw

Comments on this Embassy

EVODIUS BENGESI
Tue, 5 Mar 2019 23:05 EST
TEACHING KISWAHILI
My name is Evodius Bengesi.Tanzanian in nationality.I hold master of education in educational planning and admnistration.Please i find teaching job at your country,my teaching subject is kiswahili.My contacts are email bengesievodius21@gmail.com or bengesievodius@yahoo.com Mobile +255714841134 or +255783816242
MAKONGO JOHN
Thu, 27 Dec 2018 01:38 EST
YAH. OMBI LA KUFUNDISHA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI RWANDA.
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ni mtanzania kijana mwenye umri wa miaka 24 natarajia kuhitimu shahada ya sanaa na elimu (bachealar of arts with education) mwaka 2019 katika chuo kikuu cha kimataifa kampala jijini dar es salaam - Tanzania. Nina weledi mkubwa katika masomo ya kiswahili na kingereza.

Hivyo ninao uwezo wa kutosha kufundisha somo la kiswahili na kingereza. Nina uwezo pia wa kuwasiliana kwa lugha ya kinyarwanda. Nimatumaini yangu kuwa ombi langu litafanikiwa.

wako katika ukuzaji wa kiswahili Afrika na duniani kote.
mawasiliano; +255767121415
email; makongomj.ussr@gmail.com
Emily John Kilolo
Tue, 18 Dec 2018 04:03 EST
YAH: MAOMBI YA KUFUNDISHA KISWAHILI RWANDA
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 35 niliyehitimu shahada ya Kiswahili (BA_KISWAHILI) katika chuo kikuu cha Dodoma 2010.Ninauzoefu wa kufundisha somo la Kiswahili katika shule za sekondari kwa miaka 8, na kufundisha lugha hiyo kwa wageni mbalimbAli.
Ninatumaini ombi langu litakubalika na mimi kupata fursa hiyo. Natanguliza shukrani zangu za dhati Kwako. Wako mtiifu katika ujenzi wa Taifa.
Emily John Kilolo
Email.emilykilolo2@Gmail.com , 0714227078 / 0766766731.
Emily John Kilolo
Tue, 18 Dec 2018 03:54 EST
YAH: MAOMBI YA KUFUNDISHA KISWAHILI RWANDA
Rejea kichwa cha habari hapo juu, mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 35 niliyehitimu shahada ya Kiswahili kataka chuo kikuu cha Dodoma 2010.Ninauzoefu wa kufundisha somo la Kiswahili katika shule za sekondari kwa miaka 8, na kufundisha lugha hiyo kwa wageni mbalimbali.
Ninatumaini ombi langu litakubalika na mimi kupata hiyo fursa. Natanguliza shukrani zangu za dhati Kwako. Wako mtiifu katika ujenzi wa Taifa.
Emily John Kilolo
Email.emilykilolo2@Gmail.com , 0714227078 / 0766766731.
Allen mlowe
Sun, 16 Dec 2018 01:17 EST
YAH: MAOMBI YA KUFUNDISHA SOMO LA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Rejea mada tajwa hapo juu, mimi ni Mtanzania, kijana mwenye umri wa miaka 28, nimehitimu shahada ya ualimu kwa masomo ya kiswahili na kingereza katika chuo kikuu cha SAUT-MWANZA. Nipo tayari kufundisha kiswahili Nchini Rwanda.Nina uzoefu wa kufundisha kiswahili miaka mitatu(3) Natumaini kuwa ombi langu litafanikiwa.
Sim: 0744020838
Baruapepe: mloweallen90@gemail.com
henry scott
Thu, 29 Nov 2018 16:49 EST
illuminati
Hello, greetings to everyone. I have a proposition of mutual benefits regarding joining Illuminati Brotherhood � Bringing the poor, the needy and the talented to limelight of fame and riches. Get money, fame, powers, security, get recognized in your business, political race, rise to the top in whatever you do, be protected spiritually and physically! All these you will achieve in a twinkle of an eye when you get initiated into the brotherhood. Kindly message me on my whatsapp on +1 (404)369-5036 if interested in joining the great ILLUMINATI EMPIRE.
NYARUMULA ADONIAS MAUGO
Wed, 21 Nov 2018 05:43 EST
REQUEST FOR FULL FUNDED SCHOLARSHIP IN MASTERS OF ENGINEERING IN PROJECT MANAGEMENT
I am a Tanzanian i hold bachelor degree in Civil and Irrigation at Arusha Technical College. I'm a Female. I'm here, by requesting scholarship to pursue master's degree on Engineering project Management.
I hope you will put me in your consideration
contact
email; saramaugo584@gmail.com
phone; +255758451163
ANTHONY KIHWAGA
Wed, 14 Nov 2018 22:33 EST
OMBI LA KUFUNDISHA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Rejea mada tajwa hapo juu. Mimi ni mtanzania niliyehitimu shahada ya kwanza ya ualimu kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam. Ninafundisha masomo ya Kiswahili na Historia. Ninaweledi mkubwa katika kufundisha somo la Kiswahili na nikotayari kufundisha somo la Kiswahili nchini Rwanda au nje ya nchi.Ninatumaini ombi langu litajibiwa. Mawasiliano +255755176010 Email anthonykihwaga0@gmail.com
Tumaini Steven
Thu, 8 Nov 2018 02:48 EST
REQUESTING FOR A FULL FUNDED SCHOLARSHIP
I am a Tanzanian, i hold bachelor degree in Computer Science at University of Dodoma (First Year With 3.5 GPA). I'm a Male. I'm hereby requesting scholarship to continue with my Second & Third year of studies.
I hope you will put me in your consideration
contact
email; octavian107@gmail.com
phone; +255687582363
Maria
Wed, 31 Oct 2018 08:15 EDT
YAH: OMBI LA KUFUNDISHA KISWAHILI NCHINI RWANDA
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu. Mimi ni mtanzania mwenye uwezo wa kufundisha lugha ya kiswahili kama lugha ya mawasiliano na kama somo. Nina uzoefu wa mwaka mmoja. Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litashughulikiwa.
Simu: 0716476654
mariamilinga13@gmail.com

Post a comment on this page

We invite you to share your experiences with the Rwandan Embassy — obtaining visas and other services, locating the building, and so on. Your comments may be seen by the public, so please do not include private information.

Your name
Headline
Your message
Max 2000 characters
 

This web site is not operated by the Embassy and your comments and questions will not necessarily be seen by its staff. Please note that this is not a forum for broad debate about the foreign policy of Rwanda, and such topics will be deleted.